Friday 13 March 2015
Monday 2 March 2015
Kongamano a Muziki Dar es Salaam
Wapendwa wetu wote tunapenda kuwataalifu kuwa tutakuwa kwenye kongamano la muziki Jiji Dara es Salaam hivyo tuombeane kazi ya Bwana Ifanyike vizuri na kuwe na mafanikio makubwa watu wamtukuze Mungu wa mbinguni. Pia tunahitaji support yenu ya Hali na Mali na Maombi Mengi.
Mkama D Lugina
Mkurugenzi Mtendaji
AGAPE GOSPER SINGERS
MUSOMA
Mkama D Lugina
Mkurugenzi Mtendaji
AGAPE GOSPER SINGERS
MUSOMA
Wednesday 8 October 2014
Tunapenda kutoa shukurani za dhati kwa ndugu na marafiki waliojitoa kwa hali na mali kuhakikisha AGAPE tunapata vyombo vya muziki vya kuanzia, Mungu awabariki. lakini pia tunawashukuru Kanisa la Nyarusurya kutualika kwenye changizo kiasi kilichopatikana kitasaidia pia katika kununua vyombo kwa ajili ya kazi ya Mungu. Mbarikiwe wote na tuombeane katika mapambano ya kwenda Mbinguni.
Toka kwa Mkurugenzi Mtendaji AGAPE
Mkama D Lugina
Toka kwa Mkurugenzi Mtendaji AGAPE
Mkama D Lugina
Friday 19 September 2014
Mapambano bado yanaendelea katika kutafuta Vifaa vya muziki tayari Bwana amefanya miujiza tuna speaker 1 bado 3 tunayo power mixer 1 bado amplifer na pia bado microphone tunaomba wadau mtutie nguvu ili tuweze kushinda
watu wa Mungu Mapambano bado yanaendelea katika kufanya kazi ya Bwana. kumbuka ni bora kumshukuru Mungu kwa wema wake aliotutendea kwa kutoa tulivyonavyo ili kazi yake isonge mbele. hivyo unakumbushwa kutobaki nyuma kwa kutoa chochote ulichonacho ili kazi hii iweze kukamilika.
Subscribe to:
Posts (Atom)