FOMU MAALUMU YA UANACHAMA:
Uongozi wa AGS-MUSOMA unapenda kuwatangazia kwamba fomu za maombi ya uanachama zimetayarishwa na kukamilika. Tafadhali ingia ukrasa huu wa Matangazo ili uweze kusanikisha (download) na kujaza Fomu kisha wasilisha Nakala halisi (hard copy) kwa Uongozi kwa kadri utakavyopata maelekezo kwenye fomu yenyewe.
Na
Gaya Masatu Kabaka
MKURUGENZI WA MAWASILIANO.
Trh: 07/08/2013
3 comments:
Baada ya kazi nzito ya changizo la Nyarusurya, kazi bado inaendelea ya kumtukuza Mungu
Tufanye kazi ya Mungu kungali asubuhi usiku waje asipoweza mtu kufanya kazi yeyote
Baada ya kazi nzito ya changizo la Nyarusurya, kazi bado inaendelea ya kumtukuza Mungu
Post a Comment