watu wa Mungu Mapambano bado yanaendelea katika kufanya kazi ya Bwana. kumbuka ni bora kumshukuru Mungu kwa wema wake aliotutendea kwa kutoa tulivyonavyo ili kazi yake isonge mbele. hivyo unakumbushwa kutobaki nyuma kwa kutoa chochote ulichonacho ili kazi hii iweze kukamilika.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
1 comment:
Nimeona tayari mmeenea Mic.
Post a Comment