AGAPE SINGERS

Saturday 3 August 2013

KUISHI MAISHA MATAKATIFU: By Gaya

  1. KUSUDI LA MUNGU KWA MILELE

MAANDIKO :
Mwanzo 5:22-24 Waebrania 11:5, 6
Wagalatia 4:4, 5 Waefeso 3:9-11
Waefeso 1:4 Wagalatia 3:13-16
Yohana 3:1-8 Warumi 5:17
2 Petro 1:1-4

"Hata ulipowadia utimilifu wa wakati, Mungu alimtuma Mwanawe
ambaye amezaliwa na mwanamke, amezaliwa chini ya sheria,
kusudi awakomboe hao waliokuwa chini ya sheria, ili sisi tupate
kupokea hali ya kuwa wana." Wagalatia 4:4, 5
Mlango wa Mungu kukomboa watu kutoka nguvu za dhambi na
kifo ulikuwa kusudi lake la milele kwao wanadamu.
Kusudi la milele la Mungu kwao wanadamu lilikuwa kuwafanya
wawe watakatifu na bila kosa kwa njia ya kuzaliwa mara ya pili
katika Kristo.
  
    2.  MATAKWA YA MUNGU KUHUSU HAKI

MAANDIKO:
Mhubiri 7:29 Mwanzo 5:3
Warumi 8:5-7 1 Wakorintho 3:1-3
Warumi 8:3 Waebrania 8:7-11
Waebrania 7:19 Wagalatia 3:21

Mungu anaandika sheria yake katika mioyo ya watu kwa kutumia
Roho Mtakatifu. Matakwa ya Mungu kuhusu haki hayakubadilika,
lakini Yeye Mungu ameshawapa wanadamu nguvu ya katika haki.


    3.   MKRISTO NI NANI?

MAANDIKO:
Matendo 2:38 Warumi 6:3, 4
2 Petro 1:4 Waebrania 12:10
Waefeso 4:17-24 1 Wakorintho 12:13
Waefeso 1:22, 23 Wakolosai 1:17, 18
Matendo 11:26 2 Wakorintho 3:18
Warumi 8:14 Matendo 26:28
1 Petro 4:14-16 Mathayo 5, 6, 7
Mathayo 5:21, 22 Mathayo5:27, 28
Mathayo 5:43, 44 Mathayo 15:1-3
Warumi 12:17-21 Yohana 3:16
Warumi 5:5-8 Isaya 35:8-10
Ezekieli 36:25-27
Yeremia 31:31-34 - Akasema angeandika sheria katika mioyo ya
watu.
1 Wakorintho 15:1-4 - Injili ya wokovu wetu ni kifo, mazishi, na
ufufuo wa Bwana Yesu Kristo.
2 Wakorintho 5:17 - Mtu anaweza kuwa mkristo kwa njia ya nguvu
za Roho Mtakatifu zinazobadilisha.
Mkristo wa kweli anaonyesha Roho wa Kristo.
Dhambi inaanza katika moyo na akili kabla ya kufanyika.

    4.    KUKUA KIKRISTO

MAANDIKO :
Waebrania 5:11-14; 6:1-3 Waefeso 4:12-15
Waefeso 4:17-22; 5:1-9
Kikamilifu cha watakatifu ni kwa kazi ya uhudumu, kuufundisha
mwili wa Kristo.
Wakristo wachanga lazima watoe mtu wa kimwili na kuchukua mtu
wa kiroho ambaye ameumbwa katika haki na utakatifu.
TABIA YA MKRISTO
MAANDIKO:
Mathayo 5:1-12 Luka 1:53; 15:17-24
1 Petro 1:3, 4 Waebrania 4:16
1 Yohana 3:1-3 Wagalatia 5:22, 23
Yakobo 3:9-12; 16-18
Mungu anataka watu wake kumhitaji.

     5.    MAISHA YA MAOMBI YA MKRISTO
MAANDIKO:
Yohana 5:30-32 Luka 22:39-46
Mathayo 6:9-13 Luka 11:1-4
Wafilipi 4:6 Luka 11:5-13
Mathayo 21:12-13 Mathayo 6:5-7
Matendo 1:14; 2:1 1 Wathesolinike 5:14-24
1 Timotheo 2:8 Yakobo 5:16-18
1 Petro 3:12 Mathayo 17:14-21
Nehemia 9:1-3 Danieli 6:18-22
Yoeli 2:12, 13 2 Wakorintho 6:5
Imani, kuishi maisha matakatifu, na maombi pamoja na kufunga ni
tabia ya msingi ya mkristo. Maombi ambayo ni mazungumzo ya
mkristo na Mungu ni lazima kwa maisha ya kiroho.
Maombi - kumsifu, kumwabudu, kujitoa kwake Yesu kabisa,
kuomba kwa mahitaji yake na kwa msamaha wake.
Yakobo akasema, "Kuomba kwake mwenye haki kwafaa sana,
akiomba kwa bidii." Yakobo 5:16

     6.     KUZAA MATUNDA KWA MKRISTO
MAANDIKO:
Luka 13:6-9 Yohana 14:16-20, 26
Wagalatia 5:16-21 Waebrania 12:11
2 Petro 1:3, 4 Matendo 1:8
Waefeso 3:14-21 Warumi 8:1-4
Wafilipi 1:9-11 Waefeso 5:9
Mathayo 7:15-21; 12:33-35
Yohana 15:1, 2, 5, 6 - "akaaye ndani yangu nami ndani yake, huyo
huzaa sana"
Wagalaria 5:22-24 - "Lakini tunda la Roho ni upendo, furaha,
amani, uvumilivu, utu wema, fadhili, upole, kiasi"

     7.     MVUTO KIKRISTO
MAANDIKO:
Mathayo 5:13-16 1 Wathesolonike 2:3, 4
Matendo 17:6 Matendo 27:9-44; 28:1-10
Tito 2:7 Yohana 1:4
Yohana 8:12 Mathayo 5:16

No comments: