Wapendwa wetu wote tunapenda kuwataalifu kuwa tutakuwa kwenye kongamano la muziki Jiji Dara es Salaam hivyo tuombeane kazi ya Bwana Ifanyike vizuri na kuwe na mafanikio makubwa watu wamtukuze Mungu wa mbinguni. Pia tunahitaji support yenu ya Hali na Mali na Maombi Mengi.
Mkama D Lugina
Mkurugenzi Mtendaji
AGAPE GOSPER SINGERS
MUSOMA
Mkama D Lugina
Mkurugenzi Mtendaji
AGAPE GOSPER SINGERS
MUSOMA
No comments:
Post a Comment